Kuhusu Sisi

Kuhusu Sisi

Chama cha Mazingira na Ufugaji Tija Tanzania (CHAMAUTA) ni chama kilichoundwa na wadau mbalimbali wa utunzaji wa mazingira pamoja na ufugaji wenye tija hapa nchini. Wadau hao ni wale wanaofuga mifugo mbalimbali kama vile ng’ombe, kondoo, mbuzi, nguruwe, Samaki, Bata, Sungura,n.k. Msukumo wa kuanzisha chama hiki unatokana na hitaji la kuongeza tija katika ufugaji na kutunza na kuendeleza mazingira ambayo mifugo hiyo hutegemea.

Chama kimesajiliwa kwa mujibu wa sheria ya usajili wa vyama vya Kijamii  (The societies Act (CAP 337 R.E 2002) na Kupewa namba ya usajili S.A 23417 Ya tarehe 3 augost, 2023.

JEREMIAH JOHN WAMBURA
Mwenyekiti Taifa Chama Cha Mazingira na Ufugaji Tija Tanzania

Kazi ya Taasisi

 Kuunganisha Nguvu za wadau wote wa utunzaji wa mazigira na wafugaji wote Tanzania, ili kulinda na kutetea haki na maslahi yao kuimarisha na kutafuta Masoko ya mifugo na kuwajengea uwezo kibiashara na kiuchumi ili kuweza kujiendeleza. Kuhakikisha wafugaji wanapata maeneo bora ya malisho yenye kuendana na dhima nzima ya ufugaji wenye Tija na utunzaji wa mazingira

Taasisi inaamini katika Mambo yafuatayo

 Uwazi
Heshima
Uwajibikaji
Uzalendo
Kujitolea
Umoja
Kuzigatia Matokeo Chanya
Kazi kwa pamoja
Mazingira Rafiki
Ubora

Wanachama Waanzilishi Wa Taasisi

S/NO

JINA KAMILI

CHEO

MAWASILIANO

1

Jeremiah John Wambura

MWENYEKITI

0626 723 030
Email: chamauta2022@gmail.com

2

Esta Raban Moreto

MKAMU
MWENYEKITI

0620 487 344
0782 428 270

3

Matagili Ramadhani Mbigili

KATIBU MKUU

0742 181 541
0682 520 688

4

Khalid Swelehe
Hussein

NAIBU KATIBU
MKUU

0754 896 613
0621 217 807

5

Neema Abdu Ally

MWEKA
HAZINA

 

Muundo wa Uongozi wa Chama cha Mazingira na Ufugaji Tija Tanzania

Add Your Heading Text Here