TANGAZO LA KUPATA WATAALAM/KAMPUNI WATAKAOSHIRIKI KATIKA MRADI WA SHAMBA LA NG’OMBE WA MAZIWA: A. UTANGULIZICHAMAUTA ni Chama cha Mazingira na Ufugaji Tija Tanzania kilichoundwa nawadau mbalimbali wa utunzaji wa mazingira
Miradi inayoanza kutekelezwa ni pamoja na Ufugaji wa kisasa wa Ng’ombe wa Maziwa na Kunenepesha. A) MIRADI YA UFUGAJI. CHAMAUTA tunatekeleza miradi Ifuatayo:a) Miradi ya ufugaji.b)Miradi ya Mazingira. 1.Mradi wa